Skip to content
يُونس /

Aya 91

10 : 91
يُونس Aya 109
Sura · يُونس
Kiswahili · Barawani
10 : 91

ءَآلۡـَٰٔنَ وَقَدۡ عَصَيۡتَ قَبۡلُ وَكُنتَ مِنَ ٱلۡمُفۡسِدِينَ

Ala! Sasa? Na hali uliasi kabla yake na ukawa miongoni mwa mafisadi!

Explanation & meanings · 1
  1. Mwenyezi Mungu hakukupokea kuamini huko kwa Firauni ambako alikuwa hana budi nako. Toba hiyo ilikuwa pale mauti yamekwisha mkabili, naye aliishi maisha yake yote katika kumuasi Mwenyezi Mungu, akifisidi nchi, naye akafa kafiri wa kutupwa!