Skip to content
الزُّمَر /

Aya 25

39 : 25
الزُّمَر Aya 75
Sura · الزُّمَر
Kiswahili · Barawani
39 : 25

كَذَّبَ ٱلَّذِينَ مِن قَبۡلِهِمۡ فَأَتَىٰهُمُ ٱلۡعَذَابُ مِنۡ حَيۡثُ لَا يَشۡعُرُونَ

Walio kuwa kabla yao walikadhibisha , na ikawajia adhabu kutoka pahala wasipo patambua.

Explanation & meanings · 1
  1. Walikanusha walio kuja kabla ya washirikina hawa, ikawajia adhabu kutoka upande wasio utaraji.